Njia ya Kuingilia Chuoni UDSM
Gari ya polisi maarufu kama washawasha ilikuwepo karibu kudhibiti maandamano hayo.
Hapa
ni Academic bridge.wanafunzi wakijadili baada ya kuvurugwa maandamano
yao.hata hivyo wameapa kujipanga na kuendelea baadaye.wanaandamana
kuhusu kudai mikopo ya mwaka wa kwanza ambao hadi sasa hawajapewa pesa
ya chakula wala malazi.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)