Naibu
Katibu Mkuu Wizara Kilimo Chakula na Ushirika Mhandisi Mbogo Futakamba
akifungua mkutano wa unajadili uboreshaji wa mazao ya uvuvi na mpunga
kwa ukanda wa Afrika Mashariki (leo) jijini Dar es salaam.Mkutano huo wa
siku tano unalenga kuwawawezesha wakulima kuzalisha mpunga kwa wingi
huko wakiendeleza ufugaji wa samaki katika maeneo yao ya kilimo ili
kupunguza umaskini.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO- Dar es salaam.
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)