Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed
Shein,akiwa na ujumbe wake wakiongozana na Meneja Mkuu wa Ofisi ya
kiongozi wa Sharjah,Dr.Sultan Mohammed Al Qasimi,Sheikh Salim Bin
Abdulrahman Al Qasimi,(kulia kwa Rais), wakielekea katika jumba la
sanaa na uchoraji katika Mji wa Sharjah .
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed
Shein,akiwa na ujumbe wake wakiongozana na Meneja Mkuu wa Ofisi ya
kiongozi wa Sharjah,Dr.Sultan Mohammed Al Qasimi,Sheikh Salim Bin
Abdulrahman Al Qasimi,(wa pili kushoto) wakielekea katika jumba la
sanaa na uchoraji katika Mji wa Sharjah .Picha na Ramadhan Othman-ikulu ,Zanzibar
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)