Wanafunzi
wa Kitivo Cha Elimu Wakiwa katika Misa ya
Kumuombea Marehemu Yohana Raphael ambaye alifariki dunia hapo jana
katika
zahanati ya Chuo Kikuu Cha Dodoma mara baada ya Kudondoka ghafla wakati
akitoka kula. Mara baada ya kudondoka aliweza kuwahishwa katika zahanati
hiyo ya chuo iliyopo kitivo cha sayansi ya jamii, sanaa na lugha lakini
kwa bahati mbaya aliwezaa kupoteza uhai wakati kashafika katika
zahanati hiyo.
Baadhi ya
Wanafunzi wa Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakisubiri
Kuupokea Mwili Wa Marehemu Raphael kwaajili ya misa na kuaga mwili huo
tayari kwa safari ya kuelekea kwako kwa mazishi
Mwili
wa Marehemu Yohana Raphael ambaye alikua ni mwanafunzi wa Mwaka wa 3
aliyekuwa akisomea shahada ya kwanza ya elimu ukiwa umewasili katika
kitivo cha elimu tayari kwa wanafunzi na wafanyakazi kuaga mwili na misa
ya kumuombea marehemu.
Timu nzima ya Lukaza Blogu ikishirikiana na Wanafunzi wote
wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Inapenda kutoa pole kwa uongozi wa Chuo,
Wanafunzi wote na Ndugu, jamaa na Marafiki katika kipindi hiki kigumu
ambacho sisi kama wanafunzi tumehuzunishwa sana na msiba huu mzito.
Bwana
Ametoa na Bwana Ametwaa Jina La Bwana Lihudumiwe
poleni sana Mungu awape wa uvumilivu na subira, kwani yeye humchua yule ampendae. Mungu ailaze rohoya marehemu mahala pema peponi AMEN.....
ReplyDelete