MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA MH MKAPA AKIONGOZANA NA VIONGOZI WA NGAZI ZA JUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA HAPO JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA MH MKAPA AKIONGOZANA NA VIONGOZI WA NGAZI ZA JUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA HAPO JANA

Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Na Raisi Mstaafu wa awamu ya tatu Mh Mkapa akiongoza na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo kikuu  Cha Dodoma Balozi Juma Mwapachu (wa kwanza Kushoto) na Makamu mkuu Wa Chuo Elimu,utafiti na Ushauri Prof Ludovick Kinabo (wa kwanza kulia) na Makamu Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Prof Idrisa Kikula (nyuma) walipokuwa wakiondoka katika viwanja vya mahafali ya Chuo Kikuu Cha Dodoma hapo jana mara baada ya kumaliza kuwatunuku shahada wahitimu wote wa shahada ya kwanza na uzamili.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages