Rais
Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji Wa Globeleq -Songas
ambayo ni kampuni ya Songas Bw Mikael Karisson Walipomtembelea Rais
Jakaya Kikwete Ikulu Jana Jijini Dar es Salaam kwa Mazungumzo
Rais
Jakaya Kikwete Akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Wa Globeleq -Songas
Bw Christopher Ford na Maofisa wa kampuni hiyo jana Ikulu Jijini Dar es
Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni Ya 1 Plus Bi Fina Mango
aliyeongozana na Ujumbe huo.Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)