“Mimi Na Tanzania” ni kipindi kinachohusu masuala yanayoigusa
jamii kwa namna moja au nyingine haswa katika siasa, uchumi,michezo,na
vikwazo na vimbwangwa vinavyoikumba jamii ya kitanzania.
“Mimi
Na Tanzania” ni kipindi kisicho na upendeleo katika kumsaidia
mwananchi wa kawaida haswa unyanyasaji unaofanywa na wanaodhani wana
nguvu kuliko aliyewaumba. Tunamulika
kaskazi hadi kusini, magharibi hadi mashariki ili kujenga jamii yenye
amani, haki na upendo.
“Mimi
Na Tanzania” ni kipindi pekee kinachofunga safari kukutafuta
habariza kijamii popote pale Tanzania.
Hoyce Temu
Mtangazaji
– Mimi na Tanzania
Kwa Habari Zaidi <<>>
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)