MATUKIO KUTOKA BUNGENI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MATUKIO KUTOKA BUNGENI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri wa Katiba na Sheria, Celiina Kombani(kushoto) na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Abubakar Khamis Bakari (katikati) wakifurahia baada ya Bunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa 2011 kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Novemba 18,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mbungewa Songea Mjini ambaye pia ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dr. Emmanuel Nchimbi wakitoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Novemba 18,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages