Mbatizaji and Man Water
Mbatizaji and Man Water with Robinsom.Eryne.d.epidu wa showbizz define video.
The making of Heshima kazi Video.
---
Baada
ya Mbatizaji a.k.a Sauti ya nyikani akiwa amemshirikisha mtayarishaji
wa Muziki hapa nchini Tanzania,Man Water kuweza kutoa Wimbo ujulikanao
kwa jina la Heshima Kazi,ambao unafanya vizuri katika vituo mbalimbali
vya radio hapa nchini,tayari amekamilisha video ya wimbo huo,akiwa
ameifanya chini ya kampuni ya SHOWBIZZ DEFINE VIDEOS,chini ya
mtayarishaji Eryne Epidu.Picha za wimbo huo zilipangwa kupigwa maeneo
tofauti tofauti ya kigamboni,jijini Dar es salaam kwa mujibu wa
Mbatizaji na Man water,lakini muaandaji wa wimbo huo,ama producer wa
video hiyo baada ya kuusikiliza wimbo huo alikuja na wazo jipya na
kuamua kushoot picha za wimbo huo maeneo ya Feri na maeneo ya Posta
jijini dar es salaam.Video itakuwa pouwa kwa sana,kama vipi tega macho
yako katika luninga na mtandao huu utaiona Heshima kazi hivi punde.
safi sana ndugu yangu,naona unaendeleza mapambano toka kipindi kile cha nini maana ya maisha hadi leo,kazi nzuri hongera sana tunaisubili video
ReplyDelete