MBATIZAJI AIWEKA HESHIMA KAZI VIDEONI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MBATIZAJI AIWEKA HESHIMA KAZI VIDEONI

Mbatizaji and Man Water
Mbatizaji and Man Water with Robinsom.Eryne.d.epidu wa showbizz define video.
The making of Heshima kazi Video.
---
Baada ya Mbatizaji a.k.a Sauti ya nyikani akiwa amemshirikisha mtayarishaji wa Muziki hapa nchini Tanzania,Man Water kuweza kutoa Wimbo ujulikanao kwa jina la Heshima Kazi,ambao unafanya vizuri katika vituo mbalimbali vya radio hapa nchini,tayari amekamilisha video ya wimbo huo,akiwa ameifanya chini ya kampuni ya SHOWBIZZ DEFINE VIDEOS,chini ya mtayarishaji Eryne Epidu.Picha za wimbo huo zilipangwa kupigwa maeneo tofauti tofauti ya kigamboni,jijini Dar es salaam kwa mujibu wa Mbatizaji na Man water,lakini muaandaji wa wimbo huo,ama producer wa video hiyo baada ya kuusikiliza wimbo huo alikuja na wazo jipya na kuamua kushoot picha za wimbo huo maeneo ya Feri na maeneo ya Posta jijini dar es salaam.Video itakuwa pouwa kwa sana,kama vipi tega macho yako katika luninga na mtandao huu utaiona Heshima kazi hivi punde.

1 comment:

  1. Anonymous7:44 PM

    safi sana ndugu yangu,naona unaendeleza mapambano toka kipindi kile cha nini maana ya maisha hadi leo,kazi nzuri hongera sana tunaisubili video

    ReplyDelete

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages