Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,
Leodegar Tenga ambaye pia ni Rais wa CECAFA, akipokea tuzo baada ya
kutangazwa kuwa Balozi wa United Against Malaria Tanzania na mmoja wa
viongozi wa taasisi ya Johns Hopkins nchini, Anna McMartney
(kushoto) katika hafla ya kuyakaribisha mashindano ya Tusker
Challenge Cup yanaliyoanza kutimua vumbi jijini Dar es Salaam jana. Hafla
hiyo iliyoandaliwa na United Against Malaria ilifanyika juzi jijini
humo.
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Leodegar Tenga ambaye pia ni Rais
wa CECAFA, akipokea tuzo baada ya kutangazwa kuwa Balozi wa United
Against Malaria Tanzania na mmoja wa viongozi wa taasisi ya Johns
Hopkins nchini, Anna McMartney (kushoto) katika hafla ya kuyakaribisha
mashindano ya Tusker Challenge Cup yanaliyoanza kutimua vumbi jijini
Dar es Salaam jana. Hafla hiyo iliyoandaliwa na United
Against Malaria ilifanyika juzi jijini humo. Katikati ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukandara.
Against Malaria ilifanyika juzi jijini humo. Katikati ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukandara.
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Leodegar Tenga (wa tatu kushoto)
ambaye pia ni Rais wa CECAFA,akimtambulisha mmoja wa viongozi wa
taasisi ya Johns Hopkins nchini, Anna McMartney (kushoto) kwa Mumbe wa
CAF kutoka Afrika Kusini, Molefi
Alephant (wa pili kulia) katika hafla ya kuyakaribisha mashindano ya
Tusker Challenge Cup yanaliyoanza kutimua vumbi jijini Dar es Salaam
jana. Hafla hiyo iliyoandaliwa na United Against Malaria ilifanyika
juzi jijini humo. Wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukandara na kulia ni Mkurugenzi
Mtendaji wa Serengeti Breweries, Richard Wells.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)