Mussa Hassan Mgosi Akimtoka Mchezaji wa Djibout
TIMU
ya Taifa ya Bara 'Kili Stars' leo imeshinda mechi yake ya kwanza kwenye
michuano ya Chalenji baada ya kuigagadua Djibout kwa mabao 3-0, mechi
iliyopigwa kwenye dimba la Taifa,jijini Dar es Salaam.






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)