Frank, Bw Issa na Bi Jestina
Waziri Maige na Naibu Balozi Chabaka wakipokea zawadi ya mpira
Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania
Asamoah Gyan alipotembelea Banda la Tanzania
Waheshimiwa Ephraim Kamuntu, Najib Balala na Victorie Ndikumana
Leo
ilikuwa ni siku ya jumuiya ya Afrika mashariki ambayo hufanyika kila
mwaka katika maonyesha ya WTM hapa nchini Uingereza. Kwa kawaida sherehe
hizi hufanyika katika banda la nchi ambayo ni mwenyekiti wa Afrika
Mashariki, kwa hiyo mwaka huu tafrija hii ilifanywa kwenye banda la
ndugu zetu wa Kiburundi.
Asanteni,
URBAN PULSE CREATIVE
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)