Bou Nako
toka kundi la NAKO2NAKO soldiers yupo katika harakati nyinginezo za
kuendesha maisha lakini mziki upo kwenye blood,hii inadhihirishw na kazi
yake mpya alomshirikisha mwanadafada narx.pini linaitwa"Ish kama hizi"
ikimaanisha "mambo kama haya",ambayo ni hiphop joint inayozungumzia
zaidi hustling za machizi na jamii inavyopotoshwa na siasa danganyifu
kila leo,hali ya maisha kuwa duni na hiphop kuwa njia ya ukweli katika
kukomboa fikra zetu vijana"
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)