Flag this message Bou Nako na solo project mpya - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Flag this message Bou Nako na solo project mpya

Bou Nako toka kundi la NAKO2NAKO soldiers yupo katika harakati nyinginezo za kuendesha maisha lakini mziki upo kwenye blood,hii inadhihirishw na kazi yake mpya alomshirikisha mwanadafada narx.pini linaitwa"Ish kama hizi" ikimaanisha "mambo kama haya",ambayo ni hiphop joint inayozungumzia zaidi hustling za machizi na jamii inavyopotoshwa na siasa danganyifu kila leo,hali ya maisha kuwa duni na hiphop kuwa njia ya ukweli katika kukomboa fikra zetu vijana"

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages