Mwita
mwikabe ambaya ni mkurugenzi wa taifa wa sera na utafiti wa Chadema
akifafanua kwa waandishi wa habari sababu za kuahirisha maandamano ya
leo
Wafuasi
wa Chadema wakitawanyika kwa amani baada ya kuombwa na mwenyekiti taifa
na Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh
Freeman Mbowe kuwa waahirishe ili akamilishe mazungumzo na wakuu wa
polisi.
Mwenyekiti wa BAVICHA Ndg.John Heche akizungumza na wanahabari juu ya maandamano na sababu za kusitisha maandamano hayo.
Mwenyekiti wa BAVICHA Ndg.John Heche akizungumza na wanahabari juu ya maandamano na sababu za kusitisha maandamano hayo.
Askari polisi wakiwa kazini leo
Mmoja wa askari polisi akiwa kazini leo wakati Chadema walipoahirisha maandamano yao Kimara Dar es salaam leo
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)