Mkuu wa wilaya akiwa katika pozi la kusikitisha na kutia huruma baada ya wananchi kukataa kumsikiliza
Muheshimiwa Joseph Mbilinyi akihutubia wakazi wa jijini mbeya
Mkuu wa Wilaya Kushoto akiwa na Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu
Kikao Kimeanza sasa watu ni wengi sana Mh. Joseph Mbilinyi anahutubia sasa..
Wananchi wakiwapokea viongozi kwa Shangwe
Picha na Stanslaus yupo kwa tukio sasa endelea kufuatilia.Habari na Mbeya Yetu Blogu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)