Katibu
Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akimkaribisha Balozi wa Ujerumani hapa
nchini, Klaus-Peter Brandes alipofika Ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya
Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo.
Mukama akisisitiza jambo wakati akipiga stori na Balozi huyo
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akizungumza na Balozi wa Ujerumani hapa nchini, Klaus-Peter Brandes, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba mjini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)