
HABARI zinadai kuwa
Babu wa Loliondo kwa sasa ni tajiri wa kupindukia kwani ana miliki vitu
kadhaa wa kadhaa. Inasemekana kuwa kwasasa Babu anamiliki nyumba moja
matata inayokadiriwa kugarimu mamilioni ya pesa, pia Babu ana miliki
gari mbili, moja ambayo iko pichani Land Cruiser na Pick up mabayo
haipo kwenye picha na vitu vingine kadhaa wa kadhaa.(Wajanja Club)






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)