Wanamuziki Amigous na Saleh Kupaza kutoka bendi ya Dansi Twanga Pepeta
"KISIMA CHA BURUDANI" wakiongelea kuhusu maandalizi ya ziara yao Nchini
Uingereza Katika Kuadhimisha Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania
yatakayofanyika tarehe 26 Novemba 2011 katika ukumbi Club Club 2000
Banqueting Suite(Former Silver Spoon) Popin Building Southway. Wembley
HA9 0HB kuanzia saa 9pm- 4am. Kiingilio ni £20.00 kwa single na couple
£35.00 kabla ya saa sita Usiku
Asanteni
URBAN PULSE CREATIVE wakishirikiana na MISS JESTINA BLOG
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)