Mhitimu
wa Shahada ya Sanaa na Ualimu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM)
katika Mahafali ya Nne ya Chuo hicho,Neema Lihawa,akiwa na mwanawe
mchanga wa miezi mitatu, Arqam Shaaban, baada ya kutunukiwa Shahada yake
na Mkuu wa Chuo Kikuu hicho, Hajjat Mwatumu Malale kwenye viwanja wa
chuo mjini Morogoro.Picha na John Nditi
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)