Katikati ni gari ndogo
nyekundu iliyokandamizwa chini ya gari kubwa jeupe la mafuta. kuna mtu
yuko hai bado hajatolewa. habari zinasema watu watatu wamekufa kati
yao mama mjamzito ambaye kichwa na kiwiliwili vimetengana
-
Inasikitisha sana, kwa tukio kama hilo na kupoteza nguvu sa taifa, ila na sisi wote tuwe makini katika kufuata sheria barabarani.
ReplyDeleteMungu tusaidie tanzania , tuepukane na ajali!