Baadhi
ya Abiria na Madereva walioamua kutelemka katika magari yao na kumzonga
Trafic katika mataa ya Ubalozi wiki iliyopia subuhi baada ya trafic
huyo kupitisha magari ya upande mmoja kwa muda mrefu, ambapo walikuwa
wakipiga honi na makelele huku wakimtusi askari huyo na walipoona
hawajali akiendelea kufanya kazi yake waliamua kumfuata na kumsukumiza
pembeni kisha wakaanza kuamrisha magari yaliyokuwa upande wao yaani
barabara ya Kinondoni inayotokea Mwananyama na kuanza kuyapitisha huku
askari huyo akiyaita magari yanayotoka barabara ya Ali Hassan Mwinyi
yaani Mwenge kuelekea Posta, jambo ambalo lilitaka kusababisha ajali
siku hiyo.Picha Na Sufiani Mafoto Blogu
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)