Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi
zawadi ya bidhaa mbalimbali za kilimo za Tanzania na jarida, Mtendaji
Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa mazao ya kilimo cha Embrapa kilichopo,
Brasilia, Bw. Francisco Basilio wakati alipotembelea Kituo hicho akiwa
katika ziara ya kikazi nchini Brazil October 6,2011.
(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)