Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Tembo wakati aliposimama kwa muda kwenye Lodge ya Katuma Bush katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi wilayani Mpanda wakati alipoitembelea kukagua athari za kiangazi kwenye Hifadhi hiyo Oktoba 20,2011.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama viboko waliosongamana kwenye tope baada ya mabwa na mito kukauka kutokana na Kiangazi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Katavi Wilayani Mpanda Oktoba 20,2011.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)