Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Madini na Nishati wa
Brazil, Mhe. Eddison Lobao (kulia) October 5, 2011 kwenye Ofisi za
wizara hiyo zilizoko Brasilia. Yuko katika ziara ya kikazi nchini humo.
Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda akitoa maelezo kuhusu picha ya wafugaji wa kabila la
Wamasai aliyomzawadia Waziri wa Madini na Nishati wa Brazil, Mhe.
Eddison Lobao (kushoto) October 5, 2011 baada ya mazungumzo yao kwenye
Ofisi za wizara hiyo zilizoko Brasilia. Yuko katika ziara ya kikazi
nchini humo. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Mary
Nagu.
Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Madini na Nishati wa Brazil,
Mhe. Eddison Lobao (kulia) October 5, 2011 kwenye Ofisi za wizara hiyo
zilizoko Brasilia. Yuko katika ziara ya kikazi nchini humo.
Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda akikaribishwa na Waziri wa Kilimo, Mifugona Ugavi Mhe.
Jorge Alberto Portanova wakati alipowasili kwenye ofisi za Wizara hiyo
zilizoko Brasilia kwa mazungumzo ya kiserikali akiwa katika ziara ya
kikazi nchini Brazil, October 5, 2011.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)