Rais Jakaya
Kikwete akijiandaa kumzawadia fedha, mtoto Liano Adamu (7) ambaye ni
mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ruaha Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro
baada ya kuvutiwa na uchezaji wake wa ngoma ya Lizombe ya kabila la
Wangoni. Rais yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Nyuma
ya Rais ni Mkuu wa Mkoa, Joel Bendera. (Picha na John Nditi).
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)