Mwanamuziki Mashuhuri kutoka Nchini Marekani Eve E
akitia saini kwenye bango lenye tangazo jipya la Kampeni Kutoka East
Afrika Breweries la '' Unywaji Pombe Kistaarabu ama Responsible drinking

Mwanamuziki Mashuhuri kutoka nchini Marekani Eve E
akiwa katika pozi

Msanii Alpha akiwa katika Picha ya Pamoja na
Mwanamuziki Eve E


Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani Shaggy
akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari jijini Nairobi leo
kuhusiana na Tamasha la Tusker All Statrs 2011 litakalofanyika kesho
Mjini Nairobi,Kulia kwake ni Mkurugenzi wa masoko wa Kampuni ya
EABL-Kenya ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo

Kutoka Kulia ni Mkurugenzi wa masoko wa Kampuni ya
EABL-Kenya ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo akizungumza na
Waandishi wa habari leo hii Juuu ya tamasha hilo linalotarajiwa
kufanyika kesho

Baadhi ya wasaniii ambao watashiriki kwenye tamasha
la Tusker all stars 2011 hapo kesho, Kutoka kushoto ni msaniii mahiri
kutoka nchini kenya Amani na Jaguar na Alpha

Kulia ni Mmoja Kati ya Wakurugenzi wa Clouds
Entertainment Ruge Mutahaba akiteta jambo na Mwanamuziki Mahiri kutoka
nchini Marekani Shaggy leo asubuhi mjini Nairobi

Baadhi ya wanamuziki waliojitokeza kuunga mkono
kampeni Mpya ya EABL-Kenya wakiwa katika picha ya pamoja na Mwanamuziki
Mahiri kutoka nchini Marekani Eve E(Wa Pili Kushoto) na Kwanzia Kulia ni
Shanggy,Cabo Snoop,Msechu na Davies.Picha Zote na Ahmed Michuzi-Nairobi






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)