Wanachama
wa chadema wakiandamana mchana wa leo jijini Arusha maeneo ya clock
tower karibu na ofisi za precision air wakielekea mitaa ya manispaa huku
wakisikika wakisema "tumechoka kesi feki". zilikua zimeongoza piki piki
na bendera.nimeshindwa kupata taswira kwa ubora zaidi maana jamaa
walikua na
jazba sana nikapoteza timing.
Mdau Arusha.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)