
Mtaalam
wa Afya Usalama na Mazingira wa Vodacom Tanzania Christopher
Mosole,akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kutangaza
usalama wa njia/barabara kwa washiriki wa mbio za baiskeli za “Vodacom
Mwanza Open Cycle Challenge 2011” na wananchi kwa ujumla wa Mikoa ya
Shinyanga na Mwanza, zitakazofanyika tarehe 22 mwezi huu kuanzia
Shinyanga hadi Mwanza,kushoto Meneja wa Malta Guinness Maurice
Njowoka,kulia Mwenyekiti wa Chama cha Baiskeli Mkoa wa Shinyanga na
Mwanza(KAMWASHI)Bw.Elisha Eliasi,Mbio hizo zinadhaminiwa na Malta
Guinness.

Mwenyekiti
wa Chama cha Baiskeli Mkoa wa Shinyanga na Mwanza(KAMWASHI)Bw.Elisha
Eliasi akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza usalama wa
njia/barabara kwa washiriki wa mbio za baiskeli za “Vodacom Mwanza Open Cycle
Challenge 2011” na wananchi kwa ujumla wa Mikoa ya Shinyanga na
Mwanza, zitakazotimua vumbi tarehe 22 mwezi huu kuanzia Shinyanga hadi
Mwanza,katikati Meneja wa Malta Guinness Maurice Njowoka,kushoto
Mtaalam wa Afya Usalama na Mazingira wa Vodacom Tanzania Christopher
Mosole,Mbio hizo zinadhaminiwa na Malta Guinness.

Baadhi
ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama
cha Baiskeli Mkoa wa Shinyanga na Mwanza(KAMWASHI)Bw.Elisha Eliasi
wapili kutoka kushoto mara baada ya mkutano wa usalama wa njia/barabara
kwa washiriki wa mbio za baiskeli za “Vodacom Mwanza Open Cycle
Challenge 2011” na wananchi kwa ujumla wa Mikoa ya Shinyanga na
Mwanza, zitakazotimua vumbi tarehe 22 mwezi huu kuanzia Shinyanga hadi
Mwanza,Mbio hizo zinadhaminiwa na Malta Guinness.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)