UN FAMILY DAY YAFANA LEADERS - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

UN FAMILY DAY YAFANA LEADERS


 Mwishoni mwa wiki UN Dar es Salaam walikuwa na tamasha la michezo la Familia. Pichani ni wafanyakzi hao wakivutana katika mchezo wa kamba waliofanyia pale Leaders Club.
UN Waliwaalika Wafanyakazi wanaounda timu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifda. Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika picha ya pamoja na kikombe chao.
 Baadhi ya Maofisa wa UN kutoka Idara ya Habari wakiwa katika picha ya pamoja.
Hoyce Temu akishow Love na mmoja wa mabinti walijumuika siku hiyo.Picha Na Father Kidevu Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages