Mwenyeketi wa Chamba cha Wabunge wanawake toka Tanzania (TWGP)
Mhe. Anna Abdalla (Mb) akimtambulisha Katibu wa Bunge Ndg. Thomas
Kashililah (Mwenye Miwani) kwa ujumbe wa Wabunge Wanawake kutoka Bunge
la Zimbabwe wakati wa kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ofisi za
Bunge Dar es Salaam. Ujumbe huo wa Zimbabwe upo nchini kwa ziara ya
mafunzo na kubadilishana uzoefu na wenzao wa Tanzania.
Kiongozi wa Ujumbe wa Wabunge
Wanawake kutoka Bunge la Zimbabwe (wa tatu kushoto) akieleza jambo
wakati wa kikao cha Pamoja na Viongozi wa Chamba cha Wabunge wanawake
toka Tanzania (TWGP) walipotembelea Bunge jana. Ujumbe huo upo nchini
kwa ziara ya mafunzo kutoka kwa wabunge wenzao wa Tanzania.
Wabunge hao wakiwa na
wenyeji wao katika picha ya pamoja.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)