Mkurugenzi Wa Twanga Pepeta Katikati Asha Baraka Akiongea na waandishi wa Habari Kuhusu Uzinduzi na Ziara UK
Baada ya kufanya na Kumaliza uzinduzi wa albamu yao kabambe tarehe 6
Novemba 2011 ASET wakishirikiana na URBAN PULSE CREATIVE Wanatarajia
kuwaburudisha wapenzi wa Bendi Maarufu ya Twanga Pepeta Nchini
Uingereza mwishoni mwa Mwezi wa Novemba.
Show Hii Maalum ni kwa ajili ya kuazimisha Miaka 50 ya uhuru wa
Tanzania. Tarehe pamoja na maelezo ya Ukumbi yatafuatia mda sio mrefu.
Hivyo wadau kaeni mkao wa Kula.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)