TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA SHABCO LILIPOPATA AJALI MSAMBIAZI KOROGWE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA SHABCO LILIPOPATA AJALI MSAMBIAZI KOROGWE

Basi la Shabco Express ambalo lilikuwa likieleka Arusha leo limepata ajalimbaya ya kupinduka katika kona za Msambizi, Korogwe. Kwa mujibu wa abiria haowalisema kuwa gari hilolilipata ajali hiyo baada ya kulikwepa gari dogo na kujikuta likitumbukia mtalonikutoka na hali ya mvua na ukungu uliokuwa umeenea barabara nzima. Hakuna mtu aliyekufa katika ajali hiyo
Abiria wakiwa wanaangalia ustarabu wa kusubiri gari lingine ili waendelee na safari yao, hapo ilikuwa ni majira ya saa tisa mchana huku mvua ikinyesha.
Abiria wakinyeshewa huku wakiwa na watoto wadogo mgongoni.
Gari hilo likionekana kwa upande wa nyuma.
Picha zote kwa Hisani ya Habari na Matukio Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages