Spika Anne Makinda Atembelea Shule ya Sekondari Ya Wasichana Ndwika Ambayo imetiza Miaka Mia Moja tangu ianzishwe Mwaka 1911. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Spika Anne Makinda Atembelea Shule ya Sekondari Ya Wasichana Ndwika Ambayo imetiza Miaka Mia Moja tangu ianzishwe Mwaka 1911.


Zawadi ya kinyago alichopewa Spika wa Bunge Anne Makinda  kinachoashiria majukumu ya mwananke wa kiafrika anayehitaji kupewa nafasi
Spika Anne Makinda akiweka jiwe la msingi katika jingo la teknolojia ya maarifa katika sekondari ya Ndwika ambako aliendesha harambee iliyokusanya shilingi 27,600,000/- ili kukamisha ujenz
Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe Mwananzila(kushoto) akimkaribisha Spika Bunge Mhe.Anne Makinda kusini katika kitabu cha wageni mashuhuri aliposimama mkoani hapo akielekea Mtwara Masasi jana kuhudhuria mahafali ya kidato cha nne katika shule ya sekondari ya wasichana Ndwika ambayo imetiza miaka mia moja tangu ianzishwe mwaka 1911.
Spika Anne Makinda akiwa na“School mates”wake jana alipotembelea Shule ya Sekondari ya wasichana Masasi ambapo amesema ni vema kuanza kufikiria kuanzishwa kwa Chuo kikuu cha wanawake Tanzania
Mwanafunzi wa kidato cha nne aliyeibuka kidedea katika masomo yote, Bi Mwajuma Issa, akipongezwa na Mhe. Spika huku Menyekiti wa Bodi ya Shule Bw. Juma Satna, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Husna Mwilima na Mkuu wa wilaya za Nanyumbu na Masasi Mhe Fatma Ally wakishuhudia.
Spika Makinda akiwa na mwanafunzi, Asia Hassan, ambaye kwa sasa anatumia kitanda alichokuwa akitumia Mhe. Spika Anne Makinda shuleni hapo.
Mkuu wa Shule ya wasichana Masasi Mama Tesha (kulia) akimpokea Spika Makinda kwenye shule hiyo. Mhe Spika alisoma katika shule hii mwaka 1965-1968 ambapo alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa TANU Youth league.
Spika akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya Ndwika.Picha na Prosper Minja

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages