Rais Jakaya Kikwete akiwa Australia - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Jakaya Kikwete akiwa Australia

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Makamu mtendaji wa kampuni ya kuzalisha mafuta ya Shell Bwana Guy Outen jijini Perth Australia
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi mkuu wa Commonwealth Business forum Dkt.Mohan Kaul mjini Perth, Australia ambapo anahudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za jumuiya ya madola.
Mpiga picha wa Televisheni akiwa tayari kwa kazi kabla ya kuanza kwa mkutano huo
Hii pia ni Sehemu maalumu ya kufanyia kazi waandishi wa habari watakaohabarisha matukio mbalimbali ya mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuia ya madola (CHOGM ) mjini Perth Australia kuanzia ktoba 28- 30 Okt. 2011 . Mkutano wa CHOGM hufanyika kila baada ya miaka miwili, -
Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO na Freddy Maro-IKULU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages