Back voko wa Shaggy akifanya kweli.
Wanamuziki wa Kimataifa,Cabo Snoop kutoka nchini Angola pamoja na Eve
E kutoka nchini Marekani wakijiachia vilivyo kwa pamoja jukwaani,huku
mayowe na miluzi ikiwa imetawala kila kona ya uwanja
Mashabiki na wapenzi wa muziki wakiwa wamejitokeza kwa wingi ndani ya
viwanja vya Carnivo,jijini Nairobi,kushuhudia wanamuziki wa Kimataifa
wakifanya kweli ndani ya jiji hilo.
Mkali mwingine wa Tusker All Stars 2011,Davies kutoka nchini Uganda
akilishambulia jukwaa vilivyo na madensa wake katika miondoko ya
kindombolo ndombolo hivi.
Shaggy akiwaimbisha maelfu ya watu waliofurika kwenye tamasha la
Tusker All Stars 2011,ndani ya viwanja vya Carnivo jijini
Nairobi,usiku wa kuamkia leo.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)