Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Harith Juma Mwapachu - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Harith Juma Mwapachu

 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Harith Juma Mwapachu wakati wa maziko yake kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Harithi ni mtoto wa Katibu Mkuu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Juma Mwapachu, alikufa Jumanne, Dar es Salaam. Kulia ni Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal.
(Picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages