
Msanii
mahiri kutoka nchini Angola,ambaye kwa sasa anatamba na nyimbo zake
kadhaa hapa nchini,ikiwemo wimbo wa Prakatatumba na Windeck,baada ya
kulitikisha jiji la Nairobi kwenye tamasha la Tusker All Stars 2011
lililofanyika jana,jioni ya leo ametua jijini Dar kwenye uwanja wa
Kimataifa wa JK Nyerere akiwa ameambatana na Crew yake,msanii huyo
anatarajiwa kutumbuiza Oktoba 9, ambayo itakuwa ni siku ya kifamilia
a.k.a Family Day kwenye viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini
Dar.Pichani mlangoni shoto ni Cabo Snoop akiwa ameambatana na mwenyeji
wake kutoka Kampuni ya Prime Time Promotion,Balozi
Kindamba,mbele kabisa ni Meneja wa msanii huyo

Pichani
kulia ni Mmoja wa Wakurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd,Godfrey
Kusaga akitoa maelekezo mafupi,mara baada ya kuwasili kwa msanii huyo
Cabo Snoop na Crew yake jioni ya leo kwenye uwanja wa Kimataifa wa Jk
Nyerere,jijini Dar es salaam.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)