Maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru ya Ofisi ya Waziri Mkuu - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru ya Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Bw. William Lukuvi akitembelea mabanda ya maonesho ya miaka 50 ya Uhuru ya Ofisi ya Waziri Mkuu yaliyoanza juzi tarehe 9/10/2011. Alitembelea mabanda mbalimbali kujionea shughuli zinazofanywa na Idara, Taasisi na Wajasiriamali katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Ofisi hiyo.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages