Mrembo Judith Sangu usiku wa jana
aliibuka kidedea baada ya kuwabwaga warembo wenzake katika shindano la
kumsaka mlimbwende wa chuo kikuu cha Kampala International University(KIU).tukio hili lilituia katika ukumbi wa hoteli ya Savanna
Lounge uliomo ndani ya jengo la Quality Center,UNIQUEENTERTZ blog ilkuwa
mdhamini rasmi wa kutoa habari na matukio ya shindano hilo.
Warembo
waliofanikiwa kuingia tatu bora ni Judith Sangu ndiye
mshindi(katikati),Martha Kamanyola mshindi wa pili (kulia) na Asha
Mohamed mshindi wa tatu(kushoto).
Hii ndiyo tano bora kutoka kuilia ni Fatma Mganga,Zawadi mwambe,Asha Mohamed,Martha Kamanyola na Judith Sangu.
Jumla ya warembo 13 walipanda jukwaa moja kuwania crown hiyo.
Judith akijibu swali kiufasaha huku mamia ya watu wakimshangilia kwa mayowe ukumbini hapo.
Judith akitokwa na machozi ya furaha baada ya kutangazwa ndiye mshindi.
Kwa Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)