WAZIRI WA MAMBO YA NDANI SHAMSI VUAI NAHODHA AZINDUA KAMPENI YA KUNYWA POMBE KISTAARABU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI SHAMSI VUAI NAHODHA AZINDUA KAMPENI YA KUNYWA POMBE KISTAARABU

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampebni ya Unywaji Pombe kwa Staha inayoendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL). Kampeni hiyo itafanyika nchini kote kwa kuwahimiza madereva kunywa pombe bila kuzidisha kiwango na kuzingatia usalama barabarani.
 Mkurugenzi wa Mawsiliano na Mahusiano wa SBL, Teddy Mapunda akitoa ufafanuzi juu ya Kampeni hiyo ya Unywaji Pombe kwa Staha.
 Mkuu wa Polisi Kikosi cha Usalama barabarani, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga akishukuru SBL kwa kuanzisha Kampebi hiyo ambayo anaamini itasaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza ajali za barabarani.
 Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Richard Wells akizungumza katika uzinduzi huo.
 Wafanyakazi wa SBL waliohudhuria katika uzinduzi huo wakifuatilia matukio.
 Mkurugenzi wa SBL, Richard Wells akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha vifaa maalum vya kupimia madereva kiwqango cha ulevi.Kushoto ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano.
 Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Richard Wells akimsuhukuru Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Shamsi Vuai Nahodha kwa kuzindua rasmi kampeni hiyo ya Unywaji Pombe kwa Staha.
 Mabango yatakayotumika kuhamasisha watu kunywa pombe kwa staha na kutoenbdesha vyombo vya usafiri.
Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ephraimu Mafuru akizungumza baada ya uzinduzi huo kufanyika jijini Dar es Salaam leo.   "Marafiki hawaruhusu wenzao kutumia kilevi na kuendesha" ndio kaulimbiu ya Kampeni hiyo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages