Waziri
Mkuu,MIzengo Pinda9Kulia) akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya
pamoja ya Fedha (JFC),Abdulrahman Jumbe (wapili kushoto) na Makamishina
wa Tume hiyo,Dr.Juma Ngasongwa(kushoto)na Pinda Chana ambaye pia ni
Mbunge wa Viti Maalum baada ya mkutano wao,Ofisini kwake jijini Dar es
salaam Septemba 28,2011.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda kiwa katika picha ya pamoja na makamishina wa na
Sekretarieti ya Tume ya Pamoja ya Fedha(JFC)28,2011 baada ya kukutana nao,Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.Picha na Ofisi Ya Waziri Mkuu





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)