
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
MohamedShein,akizungumza na wananchi waliofiwa na ndugu zao katika ajali
ya Meli ya Mv Spice Islander,iliyozama katika mkondo wa Nungwi,ikiwa
safarini kuelekea Pemba,mazungumzo ya kuwafariji wananchi hao,
yalifanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani,Mjini ZanzibarPicha na
Ramadhani Othman,Ikulu-Zanzibar





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)