TISA WAPOTEZA MAISHA KATIKA ILIYOTOKEA CHIMBUYA - TUNDUMA MKOANI MBEYA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TISA WAPOTEZA MAISHA KATIKA ILIYOTOKEA CHIMBUYA - TUNDUMA MKOANI MBEYA

 Gari ya abiria aina ya Hiace yenye nambari za usajili T219 ASW ambayo ilikuwa ikitokea mji mdogo wa Tunduma ikielekea Jijini Mbeya iligongana uso kwa uso na gari aina ya Toyota Prado yenye nambari za usajili T155 ACQ, majira ya saa mbili unusu usiku jana.
Watu wakiangalia gari aina ya TOYOTA Prado Hiace yenye nambari ya usajili  T155 ACQ ambayo iligongana uso kwa uso na gari ya abiria aina ya     Hiace yenye nambari ya usajili T219 ASW ambayo ilikuwa ikitokea mji mdogo wa Tunduma ikielekea Jijini Mbeya jana saa mbili unusu usiku.
Watu wakiangalia gari aina ya TOYOTA Prado Hiace yenye nambari ya usajili  T155 ACQ ambayo iligongana uso kwa uso na gari ya abiria aina ya     Hiace yenye nambari ya usajili T219 ASW ambayo ilikuwa ikitokea mji mdogo wa Tunduma ikielekea Jijini Mbeya jana saa mbili unusu usiku.
 Kwa Picha Zaidi BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages