Taswira Za Mkutano wa Bodi Ya Magavana Wa Afrika Huko Arusha - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Taswira Za Mkutano wa Bodi Ya Magavana Wa Afrika Huko Arusha

Waziri wa Fedha wa Tanzania Mheshimiwa Mustafa Mkulo(Katikati)akiiwakilisha Tanzania Katika Mkutano wa Bodi ya Magavana wa Afrika Mjini Arusha September 9,2011
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mheshimiwa Bernard Membe akiongea na waandishi wa habari September 9-2011 mjini arusha juu ya Hatua mbalimbali zinazotakiwa Kuchukuliwa na ili kuinusuru nchi ya Libya kutoingia katika vita Vya Wenyewe Kwa Wenyewe.Picha Tiganya Vincet-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages