Tamasha la Kwanza la Bia Tanzania Kufanyika Mwezi Ujao - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Tamasha la Kwanza la Bia Tanzania Kufanyika Mwezi Ujao

      Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager Bw. George Kavishe (katikati) akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam jana kuhusu Tamasha la Kwanza la Bia Tanzania lililoandaliwa na Kilimanjaro Premium Lager and Kampuni ya Bongo 5 mwezi ujao.Kushoto ni Mratibu wa Matukio wa Bongo 5, Olive Nimaga na kulia ni Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania, Dorris Malulu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages