
KATIBU Mkuu wa CCM,Wilson Mukama akizungumza na waandishi wa habari
leo katika ofisi ya CCM wilaya ya Igunga mkoani Tabora, kutoa tathmini
na mambo mbalimbali yaliyojiri katika kampeni za CCM za uchaguzi
mdogo jimbo la Igunga utakaofanyika Oktoba 2, mwaka huu. Kulia ni
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Oganaizesheni, Asha
Abdallah Juma.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)