Aziza
Machozi Ongala na mumewe Miael McGeachy, mzawa wa Jamaika, wakiongea na
Urban Pulse na Freddy Macha kuhusu shughuli zao kuimarisha kumbukumbu na
kazi za mwanamuziki Remmy Ongala aliyefariki Desemba 2010, mjini Dar es
Salaam.
Mahojiano
yalifanywa katika Ubalozi wa Tanzania, London.
Habari zaidi bofya : http://www. thedkremmyongalafoundation. com/
Asanteni,
URBAN PULSE CREATIVE Wakishirikiana na Freddy
Macha





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)