Rais Kikwete azindua kamati ya Kitaifa ya misaada kwa Somalia - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Kikwete azindua kamati ya Kitaifa ya misaada kwa Somalia

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(Wanne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Taifa ya Misaada Ya Kibanadamu Somalia muda mfupi baada ya kuizindua rasmi ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Wajumbe wa kamati hiyo ambayo jina lake rasmi ni Kamati ya Okoa Maisha Somalia walimchagua Bwana Reginald Mengi(Watatu kushoto) kuwa mwenyekiti.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Bwana Haruna Zakharia, Said Bakhresa,Reginald Mengi,Gulam Dewji na Balozi Said Shamo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wajumbe wa kamati ya Okoa maisha Somalia muda mfupi baada ya kuizindua ikulu jijini Dar Es Salaam leo jioni.Kutoka kushoto ni Said Bakhresa,Haruna Zakharia,Mwenyekiti wa Kamati hiyo Reginald Mengi, Bwana Gulam Dewji na balozi Said Shamo(picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages