Rais
wa zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein,akizungumza na wananchi wa kizimkazi Dimbani wakati alipofika
kuangalia hatua za majaribio ya Tangi la maji safi na salama katika
kijiji hicho leo.
ais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein,akifuatana na Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na
Nishati,Kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Mustafa
Ibrahim,wakati alipofika Kizimkazi Dimbani kuangalia hatua za
kukamilika kwa mradi wa Ujenzi wa Tangi la Maji safi na Salama katika
kijiji hichom leo.






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)