Mbio za Mashua Zilizodhamini na Vodacom Tanzania Zafikia Kileleni jijini Dar es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mbio za Mashua Zilizodhamini na Vodacom Tanzania Zafikia Kileleni jijini Dar es Salaam


Mwenyekiti wa mbio za mashua Nicholus Zervos (katikati) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuhitimisha mbio hizo zilizoshirikisha mataifa 17 kulia ni Meneja wa Vodacom Mkoa wa Dar es salaam na Ukanda wa Pwani Bw. Henry Tzamburakis ambao pia wadhamini wakuu wa mbio hizo.
Meneja wa Vodacom Mkoa wa Dar es salaam na Ukanda wa Pwani Bw. Henry Tzamburakis (kushoto) akikabidhi vyeti kwa washindi wa mbio za mashua zilizohitimishwa hivi karibuni katika ufukwe wa Yatch Club jijini Dar es salaam.
 Kikundi cha sanaa kikitumbuiza kwa burudani mbalimbali wakati wa hitimisho la mbio za mashua zilizomalizikia Yatch Club jijini Dar es salaam hivi karibuni na kudhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages